Rais Samia Siluhu Hassan anashiriki Mkutano wa 41 wa wakuu wa nchi na Serikali wa SADC nchini Malawi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, anashiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) unaofanyika leo tarehe 17 – 18 Agosti,2021 mjini Lilongwe nchini Malawi . Rais Samia Siluhu hassani aliwasili jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu